.
Baada ya Martha kumtumia msichana huyo aliyejitambulisha kwa jina la Lilian aliyedai kuwa ni dada yake, akimlaumu mmiliki wa mtandao kwa kuzirusha picha za mdogo wake bila kuuliza zilikotoka.
Inadaiwa kuwa picha hizo ambazo zimekuwa zikisambaa kwa kasi katika blogs karibu zote nchini, hatimaye zilimfikia msichana huyo anayedaiwa kuishi Tabata, ambaye kwa aibu, alimtumia msichana mwingine.
Denti wa chuo kimoja jijini Dar, anayefahamika kwa jina moja la Martha, amepiga picha akiwa mtupu katika nyumba moja ya kulala wageni iliyopo Tabata, ambako alikwenda akiwa na nguo za shule, tukio linalodaiwa kutokea hivi karibuni.
Kutokana na aibu aliyoipata msichana huyo, taarifa kutoka chuoni kwao, zinasema akiwa na hofu ya picha hizo kuwafikia walimu na hivyo kuharibu sifa yake, amekuwa akiwaambia marafiki zake kuwa anafikiria kuhama.
Gazeti hili linayo majibishano yaliyorekodiwa kati ya dada na mmiliki huyo, ambako Lilian alitishia kulipeleka suala hilo katika vyombo vya sheria, tishio ambalo lilikebehiwa.